Utajiri wa pesa za majini na ndagu
FAHAMU KUHUSU UTAJIRI/PESA ZA MAJINI:
Dokta Mdiro Piga namba +255 742162843
Hakuna anaependa umasikini kuwa kila mmoja anatamani maisha yake yawe mazuri angalau apate robo tatu au nusu ya kile anacho kihitaji.matajiri wapo wengi katika jamii inayotuzunguka lakini ukweli ni kwamba walitumia nguvu za tofauti tofauti mpaka kuwa hapo walipo, kuna waliopata kwa kuiba,kudhulumu,kufanya ufisadi na wengine kutoa kafara nk. Leo nitazungumzia njia ya upatikanaji wa utajiri/pesa kupitia majini..
TAHADHARI:
Hii nafundisha kwa lengo la kutoa elimu tu usije kujaribu kwasababu hili ni swala la ulimwengu wa giza hivyo ukikosea chochote huwenda matokeo [mapatano] nayo yakawa tofauti na ulivyotaka wewe hivyo ikiwa utafanya bila kupata elimu ya kutosha sitahusika na malalamiko au lawama ikiwa utapa matokeo tofauti na ulivyotarajia..
KUMBUKA MAJINI HUZINGATIA ZAIDI VIGEZO NA MASHARTI KATIKA MIKATABA NA SHUGHULI ZAO:
Endelea...
Naam katika majini,kuna majini ya aina mbili,kuna Yale yanayodhuru na Yale yasiyo dhuru.
majini yasiyo dhuru pia yanaweza kuwa rafiki kwa binadamu na Wanaweza kumpatia mtu yeyote utajiri iwapo tu yatapatana na wewe na kukuona kuwa unafaa kuwa rafiki yao.
VIFAA VYA KUWAITA:
Kuna vitu vichache vinahitajika ili kuyaita majina haya.
kwanza uwe na vitu vifuatavyo:
~Udi SAINFROLA,METROFROPA AU METROMILAN)
~kioo cha kujitazamia cha kawaida.
~mishumaa Minne.
~Majivu
~pemba nyeupe tatu
~mayai matatu ya kuku wa kienyeji.
~kitambaa [chekundu au cheusi)
~Begi la saizi ya kati.
~mchanga wa unyayo mguu wako kushoto
~mafuta ya simba {haya yatakuzuia na muingiliano kati ya majini ya utajiri NA majini wengine wasije kuingilia mazungumzo yenu}
JINSI YA KUWAITA:
Hakikisha muda ni kuanzia saa sita usiku na kuendelea kisha Vua nguo zako na ujifunge hicho kitambaa
Chora duara kubwa kidogo ndani ya chumba chako ambacho ni tulivu kisicho na sauti zozote kwa kutumia mchanga na majivu.
Hakikisha umezima simu yako na kufunga mlango kwa ndani ili mtu mwingine asije kuingilia maana hawa majini hawapendi kuonana na mtu ambae hajawaita.
Yeyusha mafuta ya simba mwagie ndani ya duara lako hapo hakikisha umeingia tayari katika duara na vifaa vyako vyote.
Elekea upande wa magharibi [Jua linapozama] kisha Washa mishumaa yote, miwili iweke mbele yako na mmoja weka ubavu wako wa kulia na mwingine weka ubavu wa kushoto kisha uliobaki weka nyuma yako [utaweka usawa wa mstari]
Weka kioo chako katikati ya mishumaa miwili ya mbele yako kikuelekee wewe uweze kuonekana sura yako katika kioo
Katika mayai nuiza kila moja kile unachohitaji mfano yai moja unanuiza PESA lingine NYUMBA na lingine UTAWALA
Katika mishumaa iliyo mbele yako weka yai moja katika kila mshumaa huku yai moja ukiweka usawa wa kioo [Lile lenye ujumbe mkubwa]
Washa udi weka kila udi usawa wa mshuma kisha mmoja shika mkononi zunguka duara mara tano kisha kaa chini elekea ile mishumaa miwili ya mbele yako.
Tazama kioo chako kisha funga macho na anza kunuwia kwa kwa hisia yale yote unayoyahitaji
Baada ya kufikia hatua hiyo unapaswa kuwa na ujasiri wa kutosha pamoja na utulivu baada ya dakika 10/15 nafsi yako itauacha mwili na kuonana rasmi na wahusika hapo utapata utaratibu wote wa wewe kufanya ili kupata vile ulivyoandika katika mayai yako.
NB yai baada ya kurudi yai utakalolikuta kama ulivyoliweka basi jua hicho ulichoandika hautaweza kukipata hii hutokana na nyota yako kutokuwa na uwezo wa kuhimili hilo jambo au mwili wako kutokuwa na mvuto katika hilo..
Acha kuteseka na kupoteza pesa pasipo na mafanikio ukiwa na swali au jambo lolote kuhusu tiba,kisomo basi usisite kuwasiliana nami kwa simu yangu ya mkononi. +255 742162843 call/sms/whatspp
KUMBUKA MAJINI HUZINGATIA ZAIDI VIGEZO NA MASHARTI KATIKA MIKATABA NA SHUGHULI ZAO
Comments
Post a Comment